Tuesday, May 29, 2012

TMH ndani ya London....

TMH yatinga London.... ni katika kusheherekea miaka 50 ya uhuru. sherehe zilizoandaliwa na balozi wa tanzania.

Safari hii iliwajumuisha wanamitindo Khadija Mwanamboka(mwenyekiti wa TMH) na Zamda George waliowawakilisha wanamitindo wengine wa Tanzania



kulia ni Khadija,Amb Begum na Zamda


Dr. Kim Dean nae alikuwa miaongoni mwa wanamitindo wa Tanzania aliyepeprusha ubunifu wake kwenye jukwaa hilo la kimataifa. Am so touched with her spirit.. she is busy but she managed to do it even when she was out reach
 kwa picha zaidi angalia  TMH BLOG

No comments:

Post a Comment